Swali: Ni yepi makusudio ya ´amana` katika Aayah hii ulioifasiri?

Jibu: Makusudio ya amana/jukumu katika Aayah tulizotaja ni yale maamrisho na makatazo. Kwa msemo mwingine makalifisho katika ´ibaadah. Imekusanya yale yote ambayo ni wajibu kwa mtu kuyafanya na yale yote ambayo imeharamika kuyafanya ajiepushe nayo.

  • Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (77) http://binothaimeen.net/content/1758
  • Imechapishwa: 06/09/2020