Allaah (Ta´ala) amesema:
فَتَعَالَى اللَّـهُ الْمَلِكُ الْحَقُّ ۖ لَا إِلَـٰهَ إِلَّا هُوَ رَبُّ الْعَرْشِ الْكَرِيمِ
“Ametukuka Allaah, mfalme wa haki. Hapana mungu wa haki isipokuwa Yeye, Mola wa ‘Arshi tukufu.”[1]
Akajitakasa Mwenyewe (Subhaanah) kutokamana na hilo kama alivyojitakasa kutokamana na mshirika, mwana, mke, aibu na mapungufu mengine yote kama mfano wa kusinzia, kulala, kuchoka, kuwa na haja, kutaabika kuilinda mbingu na ardhi zote.
[1] 23:116
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn bin Qayyim-il-Jawziyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ´Iddat-us-Swaabiriyn, uk. 161
- Imechapishwa: 02/04/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket