Swali: Muislamu akibainikiwa kwamba aliswali kinyume na Qiblah baada ya kujitahidi na hayo yamefanyika ndani ya mji. Je, airudi swalah yake?
Jibu: Ndio. Kwa sababu alikuwa na uwezo wa kuwauliza watu na kutazama misikiti na mihrabu. Hakuwa na udhuru.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
- Imechapishwa: 14/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)