Swali: Ni zipi alama za mtu kujiaminisha na vitimbi vya Allaah?
Jibu: Miongoni mwa alama zake ni kwamba mtu anaendelea kwenye maasi na maovu na hajali. Hii ni dalili ya kwamba si mwenye kujali na kwamba yuko katika khatari kubwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24623/ما-علامات-الامن-من-مكر-الله-تعالى
- Imechapishwa: 15/11/2024
Swali: Ni zipi alama za mtu kujiaminisha na vitimbi vya Allaah?
Jibu: Miongoni mwa alama zake ni kwamba mtu anaendelea kwenye maasi na maovu na hajali. Hii ni dalili ya kwamba si mwenye kujali na kwamba yuko katika khatari kubwa.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24623/ما-علامات-الامن-من-مكر-الله-تعالى
Imechapishwa: 15/11/2024
https://firqatunnajia.com/alama-ya-kujiaminisha-na-vitimbi-vya-allaah/