Swali: Inasihi kusoma Suurah “al-Kahf” katika swalah ya sunnah siku ya ijumaa au ni lazima kuisoma ndani ya msahafu?
Jibu: Kuisoma imependekezwa. Hadiyth zenye kuzungumzia hilo zina baadhi ya udhaifu. Lakini akiisoma katika swalah ya sunnah au akiisoma nje ya swalah kunatarajiwa juu yake thawabu.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
- Imechapishwa: 11/05/2019
Swali: Inasihi kusoma Suurah “al-Kahf” katika swalah ya sunnah siku ya ijumaa au ni lazima kuisoma ndani ya msahafu?
Jibu: Kuisoma imependekezwa. Hadiyth zenye kuzungumzia hilo zina baadhi ya udhaifu. Lakini akiisoma katika swalah ya sunnah au akiisoma nje ya swalah kunatarajiwa juu yake thawabu.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (10) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191426#219753
Imechapishwa: 11/05/2019
https://firqatunnajia.com/al-kahf-katika-swalah-ya-sunnah-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
