Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vinavyozuia hedhi ili aweze kufunga Ramadhaan bila kusitisha?
Jibu: Hakuna ubaya katika hilo ikiwa vidonge hivyo havimdhuru katika afya yake na vinazuia kutoka kwa damu. Hakuna tatizo kuvitumia. Na maadamu damu haijashuka, basi swawm yake ni sahihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/406-407)
- Imechapishwa: 18/02/2026
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutumia vidonge vinavyozuia hedhi ili aweze kufunga Ramadhaan bila kusitisha?
Jibu: Hakuna ubaya katika hilo ikiwa vidonge hivyo havimdhuru katika afya yake na vinazuia kutoka kwa damu. Hakuna tatizo kuvitumia. Na maadamu damu haijashuka, basi swawm yake ni sahihi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/406-407)
Imechapishwa: 18/02/2026
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kutumia-vidonge-vya-kuzuia-hedhi-kwa-ajili-ya-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket