Swali: Baadhi ya vijana wanamsema vibaya Shaykh Swaalih al-Luhaydaan na wanamtoa katika Manhaj ya Salaf. Ni ipi hukumu ya kitendo chao hichi na vipi tutatangamana nao?
Jibu: Halimdhuru kitu Shaykh Swaalih al-Luhaydaan. Bali linamzidisha utukufu.
Mtu mpungufu akija kwako na kunilaumu mimi
ni dalili tosha ya kwamba mimi ni mbora
Halimdhuru. Linawadhuru wao wenyewe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Baadhi ya vijana wanamsema vibaya Shaykh Swaalih al-Luhaydaan na wanamtoa katika Manhaj ya Salaf. Ni ipi hukumu ya kitendo chao hichi na vipi tutatangamana nao?
Jibu: Halimdhuru kitu Shaykh Swaalih al-Luhaydaan. Bali linamzidisha utukufu.
Mtu mpungufu akija kwako na kunilaumu mimi
ni dalili tosha ya kwamba mimi ni mbora
Halimdhuru. Linawadhuru wao wenyewe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-vijana-wanaomsema-vibaya-shaykh-swaalih-al-luhaydaan/