Swali: Anayekufa katika Hajj ya faradhi baada ya kusimama ´Arafah anazingatiwa amekamilisha Hajj yake au inatakiwa kumfanyia Hajj?
Jibu: Huyu amekufa katika Hajj yake, asihijiwe. Ameenda katika Hajj mwenyewe lakini hakuikamilisha na amekufa ndani yake, ni mwenye kubaki katika Ihraam yake kama hali ya yule aliyeanguka kutoka kwenye mpando wake.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
- Imechapishwa: 14/11/2014
Swali: Anayekufa katika Hajj ya faradhi baada ya kusimama ´Arafah anazingatiwa amekamilisha Hajj yake au inatakiwa kumfanyia Hajj?
Jibu: Huyu amekufa katika Hajj yake, asihijiwe. Ameenda katika Hajj mwenyewe lakini hakuikamilisha na amekufa ndani yake, ni mwenye kubaki katika Ihraam yake kama hali ya yule aliyeanguka kutoka kwenye mpando wake.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1431-04-12.mp3
Imechapishwa: 14/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-kumhijia-tena-mtu-aliyekufa-katika-hajj/