Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza na kununua kwa njia ya Intaneti?
Jibu: Kuuza na kununua inakuwa mkono kwa mkono katika kikao kimoja. Ama ikiwa ni mbali mbali, bi maana huyu yuko huku na yule kule, hili linahitajiwa kuangaliwa kwa kuwa ni jambo jipya kwa watu na mimi silijui
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
- Imechapishwa: 16/11/2014
Swali: Ni ipi hukumu ya kuuza na kununua kwa njia ya Intaneti?
Jibu: Kuuza na kununua inakuwa mkono kwa mkono katika kikao kimoja. Ama ikiwa ni mbali mbali, bi maana huyu yuko huku na yule kule, hili linahitajiwa kuangaliwa kwa kuwa ni jambo jipya kwa watu na mimi silijui
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (68) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13864
Imechapishwa: 16/11/2014
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-biashara-ya-kwenye-intaneti/