Swali 118: Je, wewe umependekeza kitabu kwa anwani “al-Irshaad ilaa Bayaan-il-Haqq fiy Hukm-il-Jihaad”? Je, unapendekeza wasome kitabu hiki cha muheshimiwa Shaykh Ahmad an-Najmiy?
Jibu: Ndio. Kitabu kinawaraddi baadhi ya wale wanaojinasibisha na elimu ambao wamesema kwamba ni lazima kwa watu kwenda Jihaad na wafanye Jihaad hata kama wazazi wao hawako radhi. Ndipo Shaykh Ahmad akamraddi mtu huyo na akabainisha makosa yake katika masuala haya. Kwa hivyo ni kitabu kizuri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 305
- Imechapishwa: 26/10/2019
Swali 118: Je, wewe umependekeza kitabu kwa anwani “al-Irshaad ilaa Bayaan-il-Haqq fiy Hukm-il-Jihaad”? Je, unapendekeza wasome kitabu hiki cha muheshimiwa Shaykh Ahmad an-Najmiy?
Jibu: Ndio. Kitabu kinawaraddi baadhi ya wale wanaojinasibisha na elimu ambao wamesema kwamba ni lazima kwa watu kwenda Jihaad na wafanye Jihaad hata kama wazazi wao hawako radhi. Ndipo Shaykh Ahmad akamraddi mtu huyo na akabainisha makosa yake katika masuala haya. Kwa hivyo ni kitabu kizuri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´Ulamaa-ul-Kibaar fiy al-Irhaab wat-Tadmiyr, uk. 305
Imechapishwa: 26/10/2019
https://firqatunnajia.com/al-fawzaan-kuhusu-an-najmiy-na-kitabu-chake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)