Swali: Sauti si nzuri na tumechopata kuelewa kwenye swali ni al-Mawduudiy na vitabu vyake…
Jibu: Sijui kuwa Abul-´Alaa´ al-Mawduudiy (Rahimahu Allaah) ametilia uzito wowote katika kueneza ´Aqiydah. Alitilia umuhimu katika kueneza madhehebu ya al-Ikhwaan al-Muslimuun. Vitabu vyake vyote vinahusiana na hilo. Sijui kuwa ametilia uzito katika kueneza ´Aqiydah, kulingania katika Tawhiyd na kukemea shirki. Siyajui hayo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/9355
- Imechapishwa: 03/05/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)