Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma al-Faatihah baada ya kumaliza kufungishwa ndoa?
Jibu: Halina msingi. Hakuna msingi wa kusoma al-Faatihah. Ufungishwaji wa ndoa ni mwanamke kuozwa (الايجاب) na kukubali (القبول). Hatujui jambo la kwamba kunasomwa al-Faatihah.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
- Imechapishwa: 09/06/2019
Swali: Ni ipi hukumu ya kusoma al-Faatihah baada ya kumaliza kufungishwa ndoa?
Jibu: Halina msingi. Hakuna msingi wa kusoma al-Faatihah. Ufungishwaji wa ndoa ni mwanamke kuozwa (الايجاب) na kukubali (القبول). Hatujui jambo la kwamba kunasomwa al-Faatihah.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (96) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/igahthat-12021440h.mp3
Imechapishwa: 09/06/2019
https://firqatunnajia.com/al-faatihah-baada-ya-kufungishwa-ndoa/