Swali: Baadhi ya watu wanaweka rekodi ya Suurah al-Baqarah na wanaikariri nyumbani kwa kuchelea majini au mfano wake. Ni upi usahihi wa hilo?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika shaytwaan hukimbia kutoka katika nyumba ambayo kunasomwa ndani yake Suurah al-Baqarah.”
Lakini kisomo hichi kinatakiwa kiwe kutoka kwa mtu mwenyewe. Lakini ukiweka rekodi si kisomo kutoka kwa mtu. Kisomo kinatakiwa kiwe chneye kutoka kwa mtu. Hivi ndio bora na kamilifu zaidi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
- Imechapishwa: 19/06/2022
Swali: Baadhi ya watu wanaweka rekodi ya Suurah al-Baqarah na wanaikariri nyumbani kwa kuchelea majini au mfano wake. Ni upi usahihi wa hilo?
Jibu: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakika shaytwaan hukimbia kutoka katika nyumba ambayo kunasomwa ndani yake Suurah al-Baqarah.”
Lakini kisomo hichi kinatakiwa kiwe kutoka kwa mtu mwenyewe. Lakini ukiweka rekodi si kisomo kutoka kwa mtu. Kisomo kinatakiwa kiwe chneye kutoka kwa mtu. Hivi ndio bora na kamilifu zaidi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aalish-Shaykh
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.mufti.af.org.sa/ar/content/فتاوى-على-الهواء-26-12-1435هـ
Imechapishwa: 19/06/2022
https://firqatunnajia.com/al-baqarah-nyumba-ya-kwenye-rekodi/