Swali: Je, ni sahihi ya kwamba wataokunywa kwenye hodhi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni Ahl-us-Sunnah peke yake? Ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Dalili inapatikana kwenye maneno yetu [tuliyozungumza katika darsa]. Tumelizungumzia masaa. Tumesema kwamba hanywi kwenye hodhi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa mwenye kushikamana na Sunnah zake. Kuhusiana na mtu wa Bid´ah na mwenye kuritadi hawatokunywa kwenye hodhi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_10.mp3
- Imechapishwa: 01/06/2015
Swali: Je, ni sahihi ya kwamba wataokunywa kwenye hodhi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ni Ahl-us-Sunnah peke yake? Ni ipi dalili ya hilo?
Jibu: Dalili inapatikana kwenye maneno yetu [tuliyozungumza katika darsa]. Tumelizungumzia masaa. Tumesema kwamba hanywi kwenye hodhi ya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) isipokuwa mwenye kushikamana na Sunnah zake. Kuhusiana na mtu wa Bid´ah na mwenye kuritadi hawatokunywa kwenye hodhi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (10) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_10.mp3
Imechapishwa: 01/06/2015
https://firqatunnajia.com/ahl-us-sunnah-tu-ndio-watakunywa-hodhi-ya-mtume-alayhis-salaam-2/