Swali: Wakati Allaah (Ta´ala) aliposema:
وَيَبْقَى وَجْهُ رَبِّكَ ذُو الْجَلالِ وَالإِكْرَامِ
“Utabaki Uso wa Mola wako, wenye utukufu na ukarimu.” (55:27)
Ni sawa kusema kwamba uso ni dhati ya Allaah?
Jibu: Ndio. Aayah inathibitisha uso na dhati vyote viwili. Lakini Ahl-ul-Bid´ah wanafasiri kuwa ni dhati pekee ndio itabaki na wanapinga uso. Aayah inamthibitishia uso Allaah (´Azza wa Jall).
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (09) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191370#219699
- Imechapishwa: 17/03/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)