Swali: Je, (النَّاصر) ni katika majina ya Allaah?

Jibu:

Mnusuraji (النَّصير):

نِعْمَ الْمَوْلَىٰ وَنِعْمَ النَّصِيرُ

”Mlinzi mzuri aliyoje na Mnusuruji mzuri alioje!”[1]

Kuhusu (النَّاصر) sijui chochote katika mapokezi.

Swali: Vipi kuhusu jina la ´Abdun-Naaswir?

Jibu: Kuacha kufanya hivo ni bora zaidi. Ni sawa akaitwa ´Abdun-Naaswir au ´Abdul-Malik. Kuhusu (النَّاصر) sijui chochote katika mapokezi.

[1] 07:40

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31038/ما-حكم-التسمي-بـعبد-الناصر
  • Imechapishwa: 26/09/2025