Swali: Je, nitoke na Jamaa´at-ut-Tabliygh kwa kuzingatia ya kwamba sijaona jambo lolote libaya kwao?
Jibu: Inajuzu ikiwa utawafundisha Tawhiyd na elimu ya Kishari´ah. Wao – Allaah awaongoze – hawajali elimu ya Kishari´ah. Ikiwa utatoka nao kwa sababu ya kuwafundisha, Allaah anaweza akawaongoza katika elimu na masomo, jambo ambalo ni zuri.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aal ash-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Buhuuth al-Islaamiyyah (72/78)
- Imechapishwa: 02/09/2020
Swali: Je, nitoke na Jamaa´at-ut-Tabliygh kwa kuzingatia ya kwamba sijaona jambo lolote libaya kwao?
Jibu: Inajuzu ikiwa utawafundisha Tawhiyd na elimu ya Kishari´ah. Wao – Allaah awaongoze – hawajali elimu ya Kishari´ah. Ikiwa utatoka nao kwa sababu ya kuwafundisha, Allaah anaweza akawaongoza katika elimu na masomo, jambo ambalo ni zuri.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah Aal ash-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Buhuuth al-Islaamiyyah (72/78)
Imechapishwa: 02/09/2020
https://firqatunnajia.com/abdul-aziyz-aalish-shaykh-kuhusu-jamaaat-ut-tabliygh-ii/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)