Swali: Mwenye kutaka kusoma Aayah Kursiy wakati wa kulala ilihali yuko na janaba. Je, inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Ima asome kabla ya janaba au aoge kwanza kisha ndio asome. Mwenye janaba hasomi japokuwa Aayah. Lakini akitaka kuisoma basi kabla ya hapo anatakiwa kwanza kutawadha ndio alale.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 19/10/2018
Swali: Mwenye kutaka kusoma Aayah Kursiy wakati wa kulala ilihali yuko na janaba. Je, inajuzu kwake kufanya hivo?
Jibu: Ima asome kabla ya janaba au aoge kwanza kisha ndio asome. Mwenye janaba hasomi japokuwa Aayah. Lakini akitaka kuisoma basi kabla ya hapo anatakiwa kwanza kutawadha ndio alale.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 19/10/2018
https://firqatunnajia.com/aayah-kursiy-kwa-mwenye-janaba-wakati-wa-kulala/