Swali: Je, kusoma Aayah kumi za mwisho za Aal ´Imraan ni Sunnah kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati mtu anapoamka usiku?
Jibu: Ndio, ni Sunnah. Limethibiti hilo katika Hadiyth pindi mtu anapoamka anasoma zile Aayah kumi.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
- Imechapishwa: 09/11/2018
Swali: Je, kusoma Aayah kumi za mwisho za Aal ´Imraan ni Sunnah kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati mtu anapoamka usiku?
Jibu: Ndio, ni Sunnah. Limethibiti hilo katika Hadiyth pindi mtu anapoamka anasoma zile Aayah kumi.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (05) http://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191110#219240
Imechapishwa: 09/11/2018
https://firqatunnajia.com/aayah-kumi-za-mwisho-za-aal-imraan-wakati-wa-kuamka/