Swali 95: Je, inafaa kumzika mwanamke na mwanamme ndani ya kaburi moja[1]?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo haja ikipelekea kufanya hivo idadi kubwa ya waliokufa kutokana na mauaji au tauni.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/212).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 66
- Imechapishwa: 07/01/2022
Swali 95: Je, inafaa kumzika mwanamke na mwanamme ndani ya kaburi moja[1]?
Jibu: Hapana neno kufanya hivo haja ikipelekea kufanya hivo idadi kubwa ya waliokufa kutokana na mauaji au tauni.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/212).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 66
Imechapishwa: 07/01/2022
https://firqatunnajia.com/95-je-inafaa-kumzika-mwanamke-na-mwanamme-ndani-ya-kaburi-moja/