Swali 91: Ni ipi hukumu ya kutamkisha shahaadah baada ya kumaliza kuzika[1]?
Jibu: Ni Bid´ah na ni jambo halina msingi. Haifai kutamkisha shahaadah baada ya kufa. Kumepokelewa juu ya hilo Hadiyth zilizotungwa na ni jambo halina msingi. Kumtamkisha shahaadah maiti kunakuwa kabla ya kufa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/206).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 64
- Imechapishwa: 05/01/2022
Swali 91: Ni ipi hukumu ya kutamkisha shahaadah baada ya kumaliza kuzika[1]?
Jibu: Ni Bid´ah na ni jambo halina msingi. Haifai kutamkisha shahaadah baada ya kufa. Kumepokelewa juu ya hilo Hadiyth zilizotungwa na ni jambo halina msingi. Kumtamkisha shahaadah maiti kunakuwa kabla ya kufa.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/206).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 64
Imechapishwa: 05/01/2022
https://firqatunnajia.com/91-kumtamkisha-maiti-shahaadah-baada-ya-kuzikwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
