Yamepokelewa katika Hadiyth ya Anas bin Maalik pamoja na al-Hasan al-Baswriy kwa mfuatano wa wasimulizi uliokatika kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ibn Wadhdhwaah ameeleza kuwa Ayyuub amesema:
“Kuna mtu katika sisi aliyekuwa na ´Aqiydah mbovu na baadae akaiacha. Nikamwendea Muhammad bin Siriyn na kumwambia: “Je, unajua kuwa fulani ameacha ´Aqiydah yake?” Akasema: “Tazama amegeuka kuwa nini. Sehemu ya mwisho ya Hadiyth pigo zaidi kwao kuliko sehemu yake ya mwanzo:
“Wanatoka nje ya Uislamu kisha hawarudi tena.”[1]
Ahmad bin Hanbal aliulizwa maana yake akajibu:
“Hawawafikishwi kutubu.”
[1] Muslim (1067).
- Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fadhwl-ul-Islaam, uk. 28-29
- Imechapishwa: 23/10/2016
Yamepokelewa katika Hadiyth ya Anas bin Maalik pamoja na al-Hasan al-Baswriy kwa mfuatano wa wasimulizi uliokatika kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Ibn Wadhdhwaah ameeleza kuwa Ayyuub amesema:
“Kuna mtu katika sisi aliyekuwa na ´Aqiydah mbovu na baadae akaiacha. Nikamwendea Muhammad bin Siriyn na kumwambia: “Je, unajua kuwa fulani ameacha ´Aqiydah yake?” Akasema: “Tazama amegeuka kuwa nini. Sehemu ya mwisho ya Hadiyth pigo zaidi kwao kuliko sehemu yake ya mwanzo:
“Wanatoka nje ya Uislamu kisha hawarudi tena.”[1]
Ahmad bin Hanbal aliulizwa maana yake akajibu:
“Hawawafikishwi kutubu.”
[1] Muslim (1067).
Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fadhwl-ul-Islaam, uk. 28-29
Imechapishwa: 23/10/2016
https://firqatunnajia.com/9-allaah-ameizuia-tawbah-kwa-mtu-wa-bidah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)