Swali 82: Ni ipi hukumu ya kusema:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ وَمِنْهَا نُخْرِجُكُمْ تَارَةً أُخْرَىٰ
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni na kutoka humo tutakutoeni mara nyingine.”[1]
wakati wa kuzika[2]?
Jibu: Kusema hivo ni Sunnah. Atasema sambamba na hilo:
بسم الله والله أكبر
“Kwa jina la Allaah. Allaah ni mkubwa.”
[1] 20:55
[2] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/196-197).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 57
Swali 82: Ni ipi hukumu ya kusema:
مِنْهَا خَلَقْنَاكُمْ وَفِيهَا نُعِيدُكُمْ وَمِنْهَا نُخْرِجُكُمْ تَارَةً أُخْرَىٰ
“Kutoka humo [ardhini] Tumekuumbeni na katika hiyo [ardhi] tutakurudisheni na kutoka humo tutakutoeni mara nyingine.”[1]
wakati wa kuzika[2]?
Jibu: Kusema hivo ni Sunnah. Atasema sambamba na hilo:
بسم الله والله أكبر
“Kwa jina la Allaah. Allaah ni mkubwa.”
[1] 20:55
[2] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/196-197).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 57
https://firqatunnajia.com/82-kusoma-aayah-ya-suurah-twaa-haa-wakati-wa-kuzika/