Swali 78: Kumwelekeza maiti Qiblah ni katika Sunnah au ni katika mambo yaliyopendekezwa tu[1]?
Jibu: Ni miongoni mwa mambo yaliyowekwa katika Shari´ah kutokana na Hadiyth isemayo:
“Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”[2]
Atalazwa upande wake wa kulia na huku uso wake umeelekezwa Qiblah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/192).
[2] Abu Daawuud (2874) kwa tamko lisemalo:
”Nyumba Tukufu ni Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 56
- Imechapishwa: 01/01/2022
Swali 78: Kumwelekeza maiti Qiblah ni katika Sunnah au ni katika mambo yaliyopendekezwa tu[1]?
Jibu: Ni miongoni mwa mambo yaliyowekwa katika Shari´ah kutokana na Hadiyth isemayo:
“Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”[2]
Atalazwa upande wake wa kulia na huku uso wake umeelekezwa Qiblah.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/192).
[2] Abu Daawuud (2874) kwa tamko lisemalo:
”Nyumba Tukufu ni Ka´bah ni Qiblah chenu mliohai na wafu.”
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 56
Imechapishwa: 01/01/2022
https://firqatunnajia.com/78-maiti-anatakiwa-kuelekezwa-qiblah/