Swali 7: Ni nini maana ya imani kamilifu na inazidi na kupungua?
Jibu: Imani ni I´tiqaad za moyo na matendo, matendo ya viungo na maneno ya ulimi.
Dini yote, misingi yake na matawi yake vinaingia katika imani.
Ina maana ya kwamba inazidi kwa I´tiqaad yenye nguvu na wingi wake na matendo na maneno mazuri na mengi kama ambavyo inashuka kwa kinyume na hayo.
- Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 40
- Imechapishwa: 25/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket