Swali 7: Ni nini maana ya imani kamilifu na inazidi na kupungua?
Jibu: Imani ni I´tiqaad za moyo na matendo, matendo ya viungo na maneno ya ulimi.
Dini yote, misingi yake na matawi yake vinaingia katika imani.
Ina maana ya kwamba inazidi kwa I´tiqaad yenye nguvu na wingi wake na matendo na maneno mazuri na mengi kama ambavyo inashuka kwa kinyume na hayo.
- Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 40
- Imechapishwa: 25/03/2017
Swali 7: Ni nini maana ya imani kamilifu na inazidi na kupungua?
Jibu: Imani ni I´tiqaad za moyo na matendo, matendo ya viungo na maneno ya ulimi.
Dini yote, misingi yake na matawi yake vinaingia katika imani.
Ina maana ya kwamba inazidi kwa I´tiqaad yenye nguvu na wingi wake na matendo na maneno mazuri na mengi kama ambavyo inashuka kwa kinyume na hayo.
Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 40
Imechapishwa: 25/03/2017
https://firqatunnajia.com/7-nini-maana-ya-imani-kamilifu-na-inapanda-na-kushuka/