Swali 64: Kuharakisha jeneza kunakusudiwa kumswalia na kumuosha[1]?
Jibu: Kinachokusudiwa ni ule utembeaji. Kunaingia ndani yake vilevile kumswalia, kumuosha na kuharakisha kumwandaa. Udhahiri wa Hadiyth unakusanya yote kwa upande wa maana.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/181-182).
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 47-48
- Imechapishwa: 27/12/2021
Swali 64: Kuharakisha jeneza kunakusudiwa kumswalia na kumuosha[1]?
Jibu: Kinachokusudiwa ni ule utembeaji. Kunaingia ndani yake vilevile kumswalia, kumuosha na kuharakisha kumwandaa. Udhahiri wa Hadiyth unakusanya yote kwa upande wa maana.
[1] Majmuu´-ul-Fataawaa (13/181-182).
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahkaam-ul-Janaa-iz, uk. 47-48
Imechapishwa: 27/12/2021
https://firqatunnajia.com/64-yepi-makusudio-ya-kumuharakisha-maiti/