4 – ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) amesema:
“Wapanda farasi wanaume walikuwa wakitupitia na sisi tuko kwenye Ihraam pamoja na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wanapotukaribia, kila mmoja wetu anateremsha jilbaab yake usoni mwake. Wanapokuwa wameshapita, tunajifunua tena.”[1]
[1] Ahmad (6/30), Abu Daawuud, Ibn-ul-Jaaruud (418) na al-Bayhaqiy katika ”al-Hajj” kwa cheni ya wapokezi nzuri pamoja na yale mapokezi yanayoitia nguvu.
- Mhusika: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Jilbaab-ul-Mar-ah al-Muslimah, uk. 107-108
- Imechapishwa: 05/10/2023
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)