56 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameelea kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah (Ta´ala) atasema: ”Wako wapi wenye kupenda kwa ajili ya utukufu Wangu? Leo nitawafunika chini ya kivuli cha ´Arshi Yang – siku ambayo hakuna kivuli kingine isipokuwa kivuli Changu.”[1]
Kumepokelewa mapokezi mengi mno kuhusu kivuli cha ´Arshi.
[1] Swahiyh. Ameipokea Ahmad (2/338, 370 na 523) kupitia kwa Fulayh, kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan bin Ma´mar Abu Tiwaalah, kutoka kwa Sa´iyd bin Yasaar, kutoka kwa Abu Hurayrah. Kupitia njia hiyohiyo ameisimulia mtunzi katika asili, jambo ambalo ni la makosa. Kwa sababu Maalik ameipokea katika ”al-Muwattwa´” kupitia kwa Ibn Ma´mar, na yeye anaaminika zaidi ya mara elfu kuliko Fulayh. Kwa ajili hiyo Muslim ameipokea kupitia kwake. Vivyo hivyo ndivo alivofanya Ahmad (2/237 na 535) na ad-Daarimiy, uk. 371.
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 105-106
- Imechapishwa: 26/06/2024
- Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
56 – Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) ameelea kuwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Allaah (Ta´ala) atasema: ”Wako wapi wenye kupenda kwa ajili ya utukufu Wangu? Leo nitawafunika chini ya kivuli cha ´Arshi Yang – siku ambayo hakuna kivuli kingine isipokuwa kivuli Changu.”[1]
Kumepokelewa mapokezi mengi mno kuhusu kivuli cha ´Arshi.
[1] Swahiyh. Ameipokea Ahmad (2/338, 370 na 523) kupitia kwa Fulayh, kutoka kwa ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan bin Ma´mar Abu Tiwaalah, kutoka kwa Sa´iyd bin Yasaar, kutoka kwa Abu Hurayrah. Kupitia njia hiyohiyo ameisimulia mtunzi katika asili, jambo ambalo ni la makosa. Kwa sababu Maalik ameipokea katika ”al-Muwattwa´” kupitia kwa Ibn Ma´mar, na yeye anaaminika zaidi ya mara elfu kuliko Fulayh. Kwa ajili hiyo Muslim ameipokea kupitia kwake. Vivyo hivyo ndivo alivofanya Ahmad (2/237 na 535) na ad-Daarimiy, uk. 371.
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk. 105-106
Imechapishwa: 26/06/2024
Taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/59-kivuli-cha-arshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket