Swali 57: Kuna mtu alikanyaga msumari kazini kwake na damu ikaanza kutoka kwenye mguu wake. Je, hili linaharibu swawm?
Jibu: Haliharibu swawm. Kubwa linaloweza kusemwa ni kwamba mwili wa mfungaji unadhoofika ikiwa damu yenye kutoka ni nyingi.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 74
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali 57: Kuna mtu alikanyaga msumari kazini kwake na damu ikaanza kutoka kwenye mguu wake. Je, hili linaharibu swawm?
Jibu: Haliharibu swawm. Kubwa linaloweza kusemwa ni kwamba mwili wa mfungaji unadhoofika ikiwa damu yenye kutoka ni nyingi.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 74
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/57-kupoteza-damu-kunaharibu-swawm/