Swali 57: Kuna mtu alikanyaga msumari kazini kwake na damu ikaanza kutoka kwenye mguu wake. Je, hili linaharibu swawm?
Jibu: Haliharibu swawm. Kubwa linaloweza kusemwa ni kwamba mwili wa mfungaji unadhoofika ikiwa damu yenye kutoka ni nyingi.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 74
- Imechapishwa: 13/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)