Swali 56: Je, madhiy[1] na wadiy[2] vinaharibu swawm?
Jibu: Hapana.
[1] Ni majimaji yanayofanana na manii yanayotoka kwenye tupu ya mbele kwa sababu ya kucheza na kumwangalia mwanamke.
[2] Ni maji meupe mepesi yanayotoka baada ya kukojoa au wakati wa kubeba kitu kizito.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 73
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali 56: Je, madhiy[1] na wadiy[2] vinaharibu swawm?
Jibu: Hapana.
[1] Ni majimaji yanayofanana na manii yanayotoka kwenye tupu ya mbele kwa sababu ya kucheza na kumwangalia mwanamke.
[2] Ni maji meupe mepesi yanayotoka baada ya kukojoa au wakati wa kubeba kitu kizito.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 73
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/56-je-madhiy-na-wadiy-vinaharibu-swawm/