56- Ibn Swaa´id ametuhadithia: Muhammad bin ´Awf ametuhadithia: Sulaym bin ´Uthmaan ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Ziyaad, kutoka kwa Abu Umaamah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Mola wangu (´Azza wa Jall) ameniahidi kuwaingiza watu 70.000 katika Ummah wangu pasi na hesabu wala adhabu. Katika kila 1000 kuna 70.000; viganja vitatu vya Mola (´Azza wa Jall).”
- Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 106-109
- Imechapishwa: 09/04/2018
56- Ibn Swaa´id ametuhadithia: Muhammad bin ´Awf ametuhadithia: Sulaym bin ´Uthmaan ametuhadithia, kutoka kwa Muhammad bin Ziyaad, kutoka kwa Abu Umaamah, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) aliyesema:
“Mola wangu (´Azza wa Jall) ameniahidi kuwaingiza watu 70.000 katika Ummah wangu pasi na hesabu wala adhabu. Katika kila 1000 kuna 70.000; viganja vitatu vya Mola (´Azza wa Jall).”
Muhusika: Imaam ´Aliy bin ´Umar ad-Daaraqutwniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Kitaab-us-Swifaat, uk. 106-109
Imechapishwa: 09/04/2018
https://firqatunnajia.com/56-dalili-juu-ya-viganja-vya-allaah-05/