32- Jaabir al-Answaariy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Pindi Allaah alipomuumba Aadam na kizazi chake Malaika walisema: “Ee Mola! Umewaumba watu na kuwafanya ni wenye kula, wenye kunywa na ni wenye kuoa. Wajaalie dunia na sisi Aakhirah.” Ndipo Allaah (´Azza wa Jall) akasema: “Sintojaalia ambaye nimemuumba kwa mkono Wangu na nikampulizia sehemu ya roho Yangu kama kile nilichosema “Kuwa!” na kikawa.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (688). adh-Dhahabiy amesema:
”Cheni yake imesalimika.” (al-´Uluww, uk. 66)
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 28
- Imechapishwa: 02/07/2019
32- Jaabir al-Answaariy (Radhiya Allaahu ´anh) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Pindi Allaah alipomuumba Aadam na kizazi chake Malaika walisema: “Ee Mola! Umewaumba watu na kuwafanya ni wenye kula, wenye kunywa na ni wenye kuoa. Wajaalie dunia na sisi Aakhirah.” Ndipo Allaah (´Azza wa Jall) akasema: “Sintojaalia ambaye nimemuumba kwa mkono Wangu na nikampulizia sehemu ya roho Yangu kama kile nilichosema “Kuwa!” na kikawa.”[1]
[1] al-Bayhaqiy katika ”al-Asmaa’ was-Swifaat” (688). adh-Dhahabiy amesema:
”Cheni yake imesalimika.” (al-´Uluww, uk. 66)
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 28
Imechapishwa: 02/07/2019
https://firqatunnajia.com/55807-2/