Swali 50: Mtu asiyeweza kufunga Ramadhaan awalishe masikini vipi?
Jibu: Asiyeweza kufunga baada ya kupita siku kumi za Ramadhaan anunue 10 kg za mchele mzuri na aipe familia ya kifakiri. Siku zingine ishirini za Ramadhaan zikipita anafanya hali kadhalika. Pindi Ramadhaan inaisha kabisa afanye vivyo hivyo.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 68
- Imechapishwa: 13/06/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
Related
43. Mzee asiyeweza kufunga anatoa kafara vipi?
Swali 43: Kuna mtu ni mzee na hawezi kufunga. Je, alishe maskini mmoja kwa kila siku moja au alishe masikini sitini katika mwezi? Jibu: Alishe masikini mmoja kwa kila siku moja. Atatakiwa kulisha masikini sitini pindi ataposema kuwa mgongo wa mke wake kwake ni kama mgongo wa mama yake (Dhwihaar).…
In "Fataawaas-Swiyaam"
Mzee wa miaka 85 asiyeweza kufunga Ramadhaan
Swali: Mimi nina baba ambaye hajafunga kwa sasa miaka minne. Ni mwenye kulazwa juu ya kitanda. Ni mgonjwa. Umri wake unazidi miaka thamanini na tano. Je, analazimika kutoa kafara? Jibu: Ndio. Mzee asiyeweza kufunga basi ni lazima kwake kutoa fidia kwa kila siku moja kulisha masikini. Atawalisha vipi? Ama awakusanye…
In "Mgonjwa katika Ramadhaan"
Mzee asiyeweza kufunga Ramadhaan
Swali: Kuna mama mzee sana ameshindwa kufunga Ramadhaan. Kumeshapita miaka mitatu yuko katika hali hii kutokana na utuuzima na maradhi. Ni lipi linalomlazimu? Jibu: Mambo yakiwa hivo ulivyoeleza basi ni wajibu kwake kulisha kwa kila siku moja aliyoacha kufunga masikini. Anatakiwa kulisha nusu pishi katika mchele, tende, mahindi au vyengine…
In "Mzee katika Ramadhaan"