51- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna mja yeyote muumini anayetoa swadaqah kutoka katika pato zuri – na wala Allaah hakubali isipokuwa kilicho kizuri – isipokuwa Allaah Anaiweka kwenye mkono wa Mwingi wa huruma na anailea kama anavyolea mmoja wenu kitekli chake ambapo tende inakuwa kama mlima mkubwa.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
[1] Ahmad (2/431) na an-Nasaa’iy (4/418).
- Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 35
- Imechapishwa: 11/07/2019
51- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anh) amesimulia kwamba Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hakuna mja yeyote muumini anayetoa swadaqah kutoka katika pato zuri – na wala Allaah hakubali isipokuwa kilicho kizuri – isipokuwa Allaah Anaiweka kwenye mkono wa Mwingi wa huruma na anailea kama anavyolea mmoja wenu kitekli chake ambapo tende inakuwa kama mlima mkubwa.”[1]
Hadiyth ni Swahiyh.
[1] Ahmad (2/431) na an-Nasaa’iy (4/418).
Muhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ithbaat-ul-Yad li-Laah Swifatan min Swifwaatih, uk. 35
Imechapishwa: 11/07/2019
https://firqatunnajia.com/49-dalili-ya-ishirini-na-nne-kutoka-katika-sunnah-juu-ya-mikono-ya-allaah/