45 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
”Kursiy (الكرسي) ni mahali pa kuwekea miguu miwili, na ´Arshi hakuna yeyote awezaye kuikadiria isipokuwa Allaah.”[1]
Wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Swahiyh. Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “Kitaab-ut-Tawhiyd”, ad-Daarimiy katika “ar-Radd ´alaal-Mariysiy”, Abu Ja´far bin Abiy Shaybah katika “Kitaab-ul-´Arsh” na ´Abdullaah bin Ahmad katika “Kitaab-us-Sunnah” kupitia kwa Sufyaan, kutoka kwa ´Ammaar ad-Duhniy, kutoka kwa Muslim al-Batwiyn, kutoka kwa Sa´iyd bin Jubayr, kutoka kwa Ibn ´Abbaas. Cheni ya wapokezi ni Swahiyh na wapokezi wake wote ni waaminifu. Yuusuf bin Abiy Ishaaq aliifuata kutoka kwa ´Ammaar ad-Duhniy. Ameipokea Abush-Shaykh katika “al-´Adhwamah”. Inatiwa nguvu kwake kupitia upokezi unaotoka kwa Abu Dharr, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 102
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
45 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesema:
”Kursiy (الكرسي) ni mahali pa kuwekea miguu miwili, na ´Arshi hakuna yeyote awezaye kuikadiria isipokuwa Allaah.”[1]
Wapokezi wake ni waaminifu.
[1] Swahiyh. Ameipokea Ibn Khuzaymah katika “Kitaab-ut-Tawhiyd”, ad-Daarimiy katika “ar-Radd ´alaal-Mariysiy”, Abu Ja´far bin Abiy Shaybah katika “Kitaab-ul-´Arsh” na ´Abdullaah bin Ahmad katika “Kitaab-us-Sunnah” kupitia kwa Sufyaan, kutoka kwa ´Ammaar ad-Duhniy, kutoka kwa Muslim al-Batwiyn, kutoka kwa Sa´iyd bin Jubayr, kutoka kwa Ibn ´Abbaas. Cheni ya wapokezi ni Swahiyh na wapokezi wake wote ni waaminifu. Yuusuf bin Abiy Ishaaq aliifuata kutoka kwa ´Ammaar ad-Duhniy. Ameipokea Abush-Shaykh katika “al-´Adhwamah”. Inatiwa nguvu kwake kupitia upokezi unaotoka kwa Abu Dharr, kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 102
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/48-kursiy-%d8%a7%d9%84%d9%83%d8%b1%d8%b3%d9%8a-ni-mahali-pa-kuwekea-miguu-miwili/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)