Swali 45: Kuna mtu asiyeweza kufunga amekufa kabla ya Ramadhaan kwisha. Je, ni wajibu kwa wasimamizi wake kumlishizia?
Jibu: Sio wajibu kwa wasimamizi wake kumlishizia.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 63
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali 45: Kuna mtu asiyeweza kufunga amekufa kabla ya Ramadhaan kwisha. Je, ni wajibu kwa wasimamizi wake kumlishizia?
Jibu: Sio wajibu kwa wasimamizi wake kumlishizia.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 63
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/45-ni-wajibu-kwa-wasimamizi-kumlishizia-maiti-aliyekufa-kabla-ya-kutimiza-ramadhaan/