Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَإِمَّا يَنزَغَنَّكَ مِنَ الشَّيْطَانِ نَزْغٌ فَاسْتَعِذْ بِاللَّـهِ ۖ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
”Na utakapokuchochea uchochezi kutoka kwa shaytwaan, basi omba kinga kwa Allaah (useme: A’uwdhu biLLaahi minash-shaytwaanir-rajiym). Hakika Yeye Ndiye As-Samiy’ul-‘Aliym (Mwenye kusikia yote daima – Mjuzi wa yote daima).” (Fuswswilat 41 : 36)
181- Sulaymaan bin Surad amesema:
“Nilikuwa nimekaa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati watu wawili waligombana. Mmoja wao uso wake ukageuka mwekundu na mishipa yake ikavimba. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Mimi najua neno ambalo lau atalisema ataondokewa na kile anachohisi. Lau atasema:
أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
“Najikinga kwa Allaah kutokana na Shaytwaan Aliyewekwa mbali na Rahmah za Allaah.”
ataondokewa na kile anachohisi.”
- Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 111
- Imechapishwa: 21/03/2017
Allaah (Ta´ala) Amesema:
وَإِمَّا يَنزَغَنَّكَ مِنَ الشَّيْطَانِ نَزْغٌ فَاسْتَعِذْ بِاللَّـهِ ۖ إِنَّهُ هُوَ السَّمِيعُ الْعَلِيمُ
”Na utakapokuchochea uchochezi kutoka kwa shaytwaan, basi omba kinga kwa Allaah (useme: A’uwdhu biLLaahi minash-shaytwaanir-rajiym). Hakika Yeye Ndiye As-Samiy’ul-‘Aliym (Mwenye kusikia yote daima – Mjuzi wa yote daima).” (Fuswswilat 41 : 36)
181- Sulaymaan bin Surad amesema:
“Nilikuwa nimekaa na Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakati watu wawili waligombana. Mmoja wao uso wake ukageuka mwekundu na mishipa yake ikavimba. Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema:
“Mimi najua neno ambalo lau atalisema ataondokewa na kile anachohisi. Lau atasema:
أعوذ بالله من الشيطان الرجيم
“Najikinga kwa Allaah kutokana na Shaytwaan Aliyewekwa mbali na Rahmah za Allaah.”
ataondokewa na kile anachohisi.”
Muhusika: Shaykh-ul-Islaam Ahmad bin Taymiyyah
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib, uk. 111
Imechapishwa: 21/03/2017
https://firqatunnajia.com/43-duaa-wakati-wa-khasira/