Swali 41: Kipi kinachomlazimu ambaye utoko umegusa mwili au nguo zake?
Jibu: Ikiwa utoko huo ni msafi, basi hakuna chochote kinachomlazimu. Na ikiwa utoko huo ni najisi (nao ni ule ambao unatoka kwenye kifuko cha uzazi), basi inamlazimu kuuosha.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36
Swali 41: Kipi kinachomlazimu ambaye utoko umegusa mwili au nguo zake?
Jibu: Ikiwa utoko huo ni msafi, basi hakuna chochote kinachomlazimu. Na ikiwa utoko huo ni najisi (nao ni ule ambao unatoka kwenye kifuko cha uzazi), basi inamlazimu kuuosha.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: 60 su-aal wa jawaab fiy Ahkaam-il-Haydhw, uk. 36
https://firqatunnajia.com/41-nguo-iliopatwa-na-utoko/