10- Wanachuoni wengi wanaonelea kuchukizwa kuitwa kwa majina ya Suurah za Qur-aan kama mfano wa Twaa Haa, Yaa Siyn, Haa Miym na kadhalika. Kuhusiana na mtazamo wa ´Awwaam kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anaitwa Twaa Haa na Yaa Siyn sio sahihi.
- Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
- Imechapishwa: 18/03/2017
10- Wanachuoni wengi wanaonelea kuchukizwa kuitwa kwa majina ya Suurah za Qur-aan kama mfano wa Twaa Haa, Yaa Siyn, Haa Miym na kadhalika. Kuhusiana na mtazamo wa ´Awwaam kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anaitwa Twaa Haa na Yaa Siyn sio sahihi.
Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 29
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/41-aina-ya-kumi-na-moja-ya-majina-yaliyochukizwa/