180 – Abul-Qaasim ´Ubaydullaah bin Muhammad bin ´Ubaydillaah an-Najjaar ametukhabarisha: Muhammad bin ´Ubaydillaah bin al-Fadhwl al-Kayyaal ametukhabarisha: Muhammad bin al-Haytham al-Muqri’ ametuhadithia: Abu Sa´iyd al-Jassaasw amesema: Ibn ´Abdil-Mu’min ametuhadithia Misri: ´Abdaan bin ´Uthmaan ametuhadithia: Nimemsikia Ibn-ul-Mubaarak amesema:
Unapokuwa umepoa na umepumzika
chukua fursa ya kuswali Rak´ah mbili kwa ajili ya Allaah
na pale unapofikiria kusema jambo la batili
basi badala yake mtukuze Allaah
181 – Abu Sa´iyd Mas´uud bin Naaswir as-Sijziy amenisomea: Abu Ahmad Mansuur bin Muhammad bin ´Abdillaah al-Azdiy amenisomea huko Herat:
Usidharau saa hata moja ya usaidizi
ambayo unanyoosha mkono katika utiifu
Aliye hai anapelekwa kwenye kifo – na kifo ni hadaa
Kila kitu ni kutoka saa kwenda saa nyingine
182 – Abul-Husayn ´Aliy bin Muhammad bin ´Abdillaah al-Mu-addil ametukhabarisha: al-Husayn bin Swafwaan ametuzindua: ´Abdullaah bin Muhammad bin Abiyd-Dunyaa ametuhadithia: Abu ´Abdillaah Ahmad bin Ayyuub alinisomea:
Tumia fursa ya wakati wako ijapo kwa Rukuu´ moja
Pengine mauti yako yakawa ghafla
Ni wazima wangapi nimewaona
Ambao wameondoka ghafla wakiwa wazima
183 – Abul-Waliyd Sulaymaan bin Khalaf bin Sa´d al-Andalusiy amenisomea:
Ikiwa najua kwa elimu yenye yakini kabisa
kwamba maisha yangu yote ni kama saa moja
Ni kwa nini basi nisiichunge
na kuitumia katika wema na utiifu?
184 – ´Aliy bin Ahmad ar-Razzaaz ametuhadithia: Nimemsikia Ja´far al-Khuldiy akisema: Nimemsikia al-Junayd akisema: Nimemsikia as-Sarriy as-Saqatwiy akisema:
Kila siku iliyopita
Kwa ajili hiyo itukuze kila siku unayokutana nayo
- Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin ´Aliy al-Khatwiyb al-Baghdaadiy (afk. 463)
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Iqtidhwaa’-ul-´Ilm al-´Amal, uk. 103-104
- Imechapishwa: 26/05/2024
180 – Abul-Qaasim ´Ubaydullaah bin Muhammad bin ´Ubaydillaah an-Najjaar ametukhabarisha: Muhammad bin ´Ubaydillaah bin al-Fadhwl al-Kayyaal ametukhabarisha: Muhammad bin al-Haytham al-Muqri’ ametuhadithia: Abu Sa´iyd al-Jassaasw amesema: Ibn ´Abdil-Mu’min ametuhadithia Misri: ´Abdaan bin ´Uthmaan ametuhadithia: Nimemsikia Ibn-ul-Mubaarak amesema:
Unapokuwa umepoa na umepumzika
chukua fursa ya kuswali Rak´ah mbili kwa ajili ya Allaah
na pale unapofikiria kusema jambo la batili
basi badala yake mtukuze Allaah
181 – Abu Sa´iyd Mas´uud bin Naaswir as-Sijziy amenisomea: Abu Ahmad Mansuur bin Muhammad bin ´Abdillaah al-Azdiy amenisomea huko Herat:
Usidharau saa hata moja ya usaidizi
ambayo unanyoosha mkono katika utiifu
Aliye hai anapelekwa kwenye kifo – na kifo ni hadaa
Kila kitu ni kutoka saa kwenda saa nyingine
182 – Abul-Husayn ´Aliy bin Muhammad bin ´Abdillaah al-Mu-addil ametukhabarisha: al-Husayn bin Swafwaan ametuzindua: ´Abdullaah bin Muhammad bin Abiyd-Dunyaa ametuhadithia: Abu ´Abdillaah Ahmad bin Ayyuub alinisomea:
Tumia fursa ya wakati wako ijapo kwa Rukuu´ moja
Pengine mauti yako yakawa ghafla
Ni wazima wangapi nimewaona
Ambao wameondoka ghafla wakiwa wazima
183 – Abul-Waliyd Sulaymaan bin Khalaf bin Sa´d al-Andalusiy amenisomea:
Ikiwa najua kwa elimu yenye yakini kabisa
kwamba maisha yangu yote ni kama saa moja
Ni kwa nini basi nisiichunge
na kuitumia katika wema na utiifu?
184 – ´Aliy bin Ahmad ar-Razzaaz ametuhadithia: Nimemsikia Ja´far al-Khuldiy akisema: Nimemsikia al-Junayd akisema: Nimemsikia as-Sarriy as-Saqatwiy akisema:
Kila siku iliyopita
Kwa ajili hiyo itukuze kila siku unayokutana nayo
Muhusika: Imaam Abu Bakr Ahmad bin ´Aliy al-Khatwiyb al-Baghdaadiy (afk. 463)
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Iqtidhwaa’-ul-´Ilm al-´Amal, uk. 103-104
Imechapishwa: 26/05/2024
https://firqatunnajia.com/40-ichunge-vizuri-kila-siku-unayokutana-nayo/