Swali 4: Mnaonaje kuhusu Allaah kuwa juu ya waja na kulingana juu ya ´Arshi?
Jibu: Tunamtambua Mola wetu kuwa juu kwa njia zote:
1- Kuwa juu kwa dhati.
2- Kuwa juu kwa hadhi na sifa.
3- Kuwa juu kwa nguvu.
Ametengana na viumbe Wake na amelingana juu ya ´Arshi.
- Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 28-32
- Imechapishwa: 25/03/2017
Swali 4: Mnaonaje kuhusu Allaah kuwa juu ya waja na kulingana juu ya ´Arshi?
Jibu: Tunamtambua Mola wetu kuwa juu kwa njia zote:
1- Kuwa juu kwa dhati.
2- Kuwa juu kwa hadhi na sifa.
3- Kuwa juu kwa nguvu.
Ametengana na viumbe Wake na amelingana juu ya ´Arshi.
Muhusika: Imaam ´Abdur-Rahmaan bin Naaswir as-Sa´diy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ahamm-ul-Muhimmaat, uk. 28-32
Imechapishwa: 25/03/2017
https://firqatunnajia.com/4-mnasemaje-juu-ya-allaah-kuwa-juu-ya-viumbe-na-kulingana-juu-ya-arshi/