Baada ya siku saba yeye mwenyewe kwa nafsi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawashambulia Banuu Sulaym. Aliikaa huko kwa muda wa siku tatu kisha akarudi. Hakukutokea vita vyovyote. Wakati huo alimwacha Sibaa´ bin ´Urfutah kama khalifah huko al-Madiynah. Kuna maoni mengine yanayosema vilevile kwamba alikuwa ni Ibn Umm Maktuum.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 54
- Imechapishwa: 10/10/2018
Baada ya siku saba yeye mwenyewe kwa nafsi yake (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akawashambulia Banuu Sulaym. Aliikaa huko kwa muda wa siku tatu kisha akarudi. Hakukutokea vita vyovyote. Wakati huo alimwacha Sibaa´ bin ´Urfutah kama khalifah huko al-Madiynah. Kuna maoni mengine yanayosema vilevile kwamba alikuwa ni Ibn Umm Maktuum.
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 54
Imechapishwa: 10/10/2018
https://firqatunnajia.com/38-safari-ya-kijeshi-dhidi-ya-banuu-sulaym/