Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inafaa na ni sahihi kuwapa zakaah sawa wakiwa wema au waovu.”
MAELEZO
Miongoni mwa haki za watawala ni kuwapa zakaah. Zakaah wanatakiwa kupewa wao au manaibu wao na si wengineo. Yule mwenye kutoa zakaah kumpa mwengine asiyekuwa wao basi ni lazima kwake kuilipa tena.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 140
- Imechapishwa: 30/04/2019
Imaam Ahmad bin Hanbal (Rahimahu Allaah) amesema:
“Inafaa na ni sahihi kuwapa zakaah sawa wakiwa wema au waovu.”
MAELEZO
Miongoni mwa haki za watawala ni kuwapa zakaah. Zakaah wanatakiwa kupewa wao au manaibu wao na si wengineo. Yule mwenye kutoa zakaah kumpa mwengine asiyekuwa wao basi ni lazima kwake kuilipa tena.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Itmaam-ul-Minnah, uk. 140
Imechapishwa: 30/04/2019
https://firqatunnajia.com/37-zakaah-wanapaswa-kupewa-watawala/