33 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Muuliwaji atakuja na muuaji siku ya Qiyaamah. Atakuwa amekishika kichwa chake mkononi mwake na damu ikitoka kwenye mishipa yake, aseme ”Ee Mola wangu! Aliniua!” mpaka asogezwe karibu Naye kwenye ´Arshi.”[1]
[1] Swahiyh. Ahmad na wengineo wameipokea kwa cheni mbili Swahiyh kutoka kwake. Nimeikagua katika “al-Mushkaah” (3465).
- Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 96-97
- Imechapishwa: 24/06/2024
- taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
33 – Ibn ´Abbaas (Radhiya Allaahu ´anhumaa) amesimulia kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
”Muuliwaji atakuja na muuaji siku ya Qiyaamah. Atakuwa amekishika kichwa chake mkononi mwake na damu ikitoka kwenye mishipa yake, aseme ”Ee Mola wangu! Aliniua!” mpaka asogezwe karibu Naye kwenye ´Arshi.”[1]
[1] Swahiyh. Ahmad na wengineo wameipokea kwa cheni mbili Swahiyh kutoka kwake. Nimeikagua katika “al-Mushkaah” (3465).
Mhusika: Imaam Shams-ud-Diyn Muhammad bin Ahmad adh-Dhahabiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Mukhtasar-ul-´Uluww, uk 96-97
Imechapishwa: 24/06/2024
taaliki: Imaam Muhammad Naaswir-ud-Diyn al-Albaaniy
https://firqatunnajia.com/35-muuliwaji-na-muuaji-siku-ya-qiyaamah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)