Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Mlango wa saba
Jawabu kwa watu wa batili kwa jumla na kwa kina
Nitakutajia kitu katika yale aliyotaja Allaah katika Kitabu Chake jibu kwa maneno ambayo washirikina wa zama zetu wanatumia kama hoja dhidi yetu.
MAELEZO
Halafu mtunzi (Rahimahu Allaah) anataja kuwa katika kitabu chake hichi atataja kila hoja wanayotumia washirikina dhidi ya Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah). Atafichua hoja tata hizi ambazo kwa hakika sio hoja. Bali ni hoja tata tu.
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 55
- Imechapishwa: 11/11/2023
Shaykh-ul-Islaam Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (Rahimahu Allaah) amesema:
Mlango wa saba
Jawabu kwa watu wa batili kwa jumla na kwa kina
Nitakutajia kitu katika yale aliyotaja Allaah katika Kitabu Chake jibu kwa maneno ambayo washirikina wa zama zetu wanatumia kama hoja dhidi yetu.
MAELEZO
Halafu mtunzi (Rahimahu Allaah) anataja kuwa katika kitabu chake hichi atataja kila hoja wanayotumia washirikina dhidi ya Shaykh-ul-Islaam (Rahimahu Allaah). Atafichua hoja tata hizi ambazo kwa hakika sio hoja. Bali ni hoja tata tu.
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Kashf-ish-Shubuhaat, uk. 55
Imechapishwa: 11/11/2023
https://firqatunnajia.com/34-mlango-wa-07-jawabu-kwa-watu-wa-batili-kwa-jumla-na-kwa-kina/