Miongoni mwa haki za mume juu ya mke wake ni yeye kutofunga Swawm ya Sunnah wakati mume wake yupo bila ya idhini yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke kufunga kwa kuwepo mume wake isipokuwa kwa idhini yake.”[1]
[1] al-Bukhaariy (5195) na Muslim.
- Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 41
- Imechapishwa: 24/03/2017
Miongoni mwa haki za mume juu ya mke wake ni yeye kutofunga Swawm ya Sunnah wakati mume wake yupo bila ya idhini yake. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Si halali kwa mwanamke kufunga kwa kuwepo mume wake isipokuwa kwa idhini yake.”[1]
[1] al-Bukhaariy (5195) na Muslim.
Muhusika: Shaykh Sulaymaan bin Saliym ar-Ruhayliy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Haqq-uz-Zawjayn, uk. 41
Imechapishwa: 24/03/2017
https://firqatunnajia.com/27-mke-asifunge-isipokuwa-kwa-idhini-ya-mume/