2- Majina ya Allaah (Tabaarak wa Ta´ala). Haijuzu kutoa jina kwa jina ambalo ni maalum kwa Mola (Subhaanahu wa Ta´ala). Mfano wa majina hayo ni ar-Rahmaan, ar-Rahiym, al-Khaaliq na al-Baariy. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alibadilisha majina ya sampuli hiyo.
Katika Qur-aan tukufu:
هَلْ تَعْلَمُ لَهُ سَمِيًّا
“Je, unamjua mwengine mwenye Jina kama Lake?” (19:65)
Bi maana hana anayefanana Naye anayestahiki mfano wa jina Lake kama ar-Rahmaan[1].
[1] Tazama “al-Jaami´ li Ahkaam-il-Qur-aan” (11/130) ya al-Qurtwubiy.
- Muhusika: ´Allaamah Bakr bin ´Abdillaah Abu Zayd
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tasmiyat-ul-Mawluwd, uk. 22
- Imechapishwa: 18/03/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket