Swali 23: Ni ipi hukumu ya kupiga sindano mchana wa Ramadhaan? Je, kunaharibu swawm?
Jibu: Mfungaji anatakiwa kuepuka sindano kwenye mishipa. Ama sindano kwenye misuli haina neno.
- Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 38
- Imechapishwa: 12/06/2017
Swali 23: Ni ipi hukumu ya kupiga sindano mchana wa Ramadhaan? Je, kunaharibu swawm?
Jibu: Mfungaji anatakiwa kuepuka sindano kwenye mishipa. Ama sindano kwenye misuli haina neno.
Muhusika: ´Allaamah Ahmad bin Yahyaa an-Najmiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaas-Swiyaam, uk. 38
Imechapishwa: 12/06/2017
https://firqatunnajia.com/23-je-kupiga-sindano-kunaharibu-swawm/