Rabiy´ al-Aakhir mwaka wa 02 Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mwenyewe akashiriki katika msafara wa kijeshi wa kwenda Buwaat. Katika kipindi hicho alimuacha as-Saa-ib bin ´Uthmaan bin Madh´uun (Radhiya Allaahu ´anh) kuwa khalifa al-Madiynah. Alipofika Buwaat kupitia Radhwaa´ akarudi na hapakuwepo vita.
- Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 42-43
- Imechapishwa: 25/04/2018
Rabiy´ al-Aakhir mwaka wa 02 Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) mwenyewe akashiriki katika msafara wa kijeshi wa kwenda Buwaat. Katika kipindi hicho alimuacha as-Saa-ib bin ´Uthmaan bin Madh´uun (Radhiya Allaahu ´anh) kuwa khalifa al-Madiynah. Alipofika Buwaat kupitia Radhwaa´ akarudi na hapakuwepo vita.
Muhusika: Imaam Ismaa´iyl bin Kathiyr ad-Dimashqiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Fusuwl fiy Siyrat-ir-Rasuwl, uk. 42-43
Imechapishwa: 25/04/2018
https://firqatunnajia.com/21-kikosi-cha-kijeshi-kwenda-buwaat/