Vivyo hivyo kuhusu watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wana haki ya ule ujamaa na haki ya imani. ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kuwapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu Nawaaswib, wanawapenda Maswahabah na huku wanawachukia watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ndio maana wakaitwa hivo. Raafidhwah wao ni kinyume na hivo. Wanadai kuwa wanawapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na sambamba na hilo wanawachukia, wanawalaani, kuwakufurisha Maswahabah na kuwataja kwa ubaya.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 227-228
- Imechapishwa: 23/04/2025
Vivyo hivyo kuhusu watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Wana haki ya ule ujamaa na haki ya imani. ´Aqiydah ya Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah ni kuwapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kuhusu Nawaaswib, wanawapenda Maswahabah na huku wanawachukia watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam), ndio maana wakaitwa hivo. Raafidhwah wao ni kinyume na hivo. Wanadai kuwa wanawapenda watu wa nyumbani kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na sambamba na hilo wanawachukia, wanawalaani, kuwakufurisha Maswahabah na kuwataja kwa ubaya.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Ta´liyqaat al-Mukhtaswarah ´alaal-´Aqiydah at-Twahaawiyyah, uk. 227-228
Imechapishwa: 23/04/2025
https://firqatunnajia.com/209-kuwapenda-watu-wa-nyumbani-kwa-mtume-2/